semina ya wanafunzi wa kiislam ambao wapo kidato cha SITA ambao wanatarajiwa kuanza mitihani yao ya mwisho tarehe 5/5/2014.. "semina iyo ilisimamiwa na mwalim mlez Shekh Ibraim na amiri wa mkoa.... ikiendeshwa na wanajumuiya wa MSATEKU wakiwa na Amir wao akhy Abdul"
Baadhi ya wanafunzi waliohudhuria katika semina iyo.
| Huo ndo mchakato mzima wa chakula ulivyokua ukiendelea wakati wa semina.. | |||
Huo ndo mchakato mzima wa upataji wa chakula ulivyoendelea...
No comments:
Post a Comment