Monday, May 5, 2014

Siku ya mavazi ya kiislam  "Ijabu Day"... iliyofanyika msikiti mkuu wa Mbeya uliopo barabara ya NANE Mbeya mjini karibu na stand kuu.. Baadhi ya mashekhe waliohudhuria ni Shekh Abbas, Shekh Bombo na Shekh Pembe... Pamoja na maamiri wa Mkoa...
                            ....Maada mbalimbali ziliwasilishwa na mashe hao...
  Hao ni baadhi ya mashekh wakiwa katika iyo siku ya mavazi ya kiislam ikiwagusu dada zetu         na  mama zetu...
                      Shekh Abbas akiwasilisha mada nafasi ya elimu katika uislam...

                      Hao ni baadhi ya maukht waliohudhuria siku ya "Ijabu Day"
                                                   Shekh Pembe akiwasilisha mada..
                                  Baadhi ya waumini waliohudhuria katika "Ijabu Day"
                      Shekh Bombo akitoa mada basing on definition of jalabibi/hijjabu as far as
                       religious of Allah as concerned.
DJ Shekh Ally akifanya kazi yake.... more effectively and efficiently.
 
 Amiri wa chuo cha Teku akhy ABDUL akiakhirisha hafla iyo.

               

Sunday, April 27, 2014


                                                     Assalaaam alaikum.....
semina ya wanafunzi wa kiislam ambao wapo kidato cha SITA ambao wanatarajiwa kuanza mitihani yao ya mwisho tarehe 5/5/2014.. "semina iyo ilisimamiwa na mwalim mlez Shekh Ibraim na amiri wa mkoa.... ikiendeshwa na wanajumuiya wa MSATEKU wakiwa na Amir wao akhy Abdul"
Hao ni baadhi ya viongozi na wawasilisha  mada katika semina iyo... aliesimama ni mwalimu mlez shekh Ibrahim.

                          Baadhi ya wanafunzi waliohudhuria katika semina iyo.

Huo ndo mchakato mzima wa chakula ulivyokua ukiendelea wakati wa semina..



                       Huo ndo mchakato mzima wa upataji wa chakula ulivyoendelea...

Sunday, April 13, 2014

                                                      Assalam alaikum..
kikao cha wanajumuiya wa MSATEKU kililichoendeshwa tarehe 1/04/2014 katika msikiti wao wa JIDDAH kikiudhuliwa na Amiri wa Mkoa.. "Dhumuni la kikao ni kutangaza uongozi mpya wa wanajumuiya hao".

Amir wa mkoa wa Mbeya Akitoa nasaha zake kabla ya uongozi mpya kutangazwa.. kwa ufupi alizungumzia jinsi gani jumuiya ya MSATEKU ilivyo katika mstari wa mbele kuendeleza UISLAM katika JIJI la MBEYA.. Akiwaaasa viongozi wajao kufanya ivyo ili kuipeleka mbele dini ya ALLAH.

Baadhi ya wanajumuiya wa MSATEKU waliohudhulia katika kikao cha kutangaza uongozi mpya...
Akhy Kafyome akiwa katika nyazifa ya kutangaza uongozi huo mpya wa MSATEKU...
    Maamiri wa vitengo mbalimbali wakirudisha mafaili ya vitengo vyao.. kabla ya uongozi mpya  kutangazwa..
Amir Abdul baada ya kuchaguliwa kwa mara ya pili katika nyazifa iyo ya Uamir kuongoza tena jumuiya ya MSATEKU... alitoa nasaha zake kwa ufupi...
Naibu katibu aliekabidhi manadara akitoa nasaha kwa niaba ya uongozi uliopita...

Sunday, March 30, 2014

 Kikao cha wanajumuiya wa MSATEKU kilicho ketiwa tarehe 30/03/2014 katika msikiti wao wa JIDDAH...
Amiri akiwa katikati wakiendesha kikao cha wanajumuiya kuume kwake na kushoto ni baadhi ya viongozi wa jumuiya.


 Baadhi ya waumuni wa kiume walioudhuria katika kiao.

Amir wa jumuiya ya Msateku akiwa nje ya JIDDAH baada ya kikao kuakhirishwa... katika kikao icho...
alielezea kiufupi kuhusu maendeleo ya Mgahawa wa                  wanajumuiya.... pamoja na maafali:
"aaww, Ndugu zangu waislam wake kwa waume ,wakubwa kwa watoto, maimamu na Mashekh pamoja na waislamu wote kwa ujumla. Hii ni taarifa fupi kuhusu maendeleo ya MGAHAWA na ya jumuiya kwa ujumla. MGAHAWA unaendelea vizuri na jumuiya yetu tupo katika mchakato wa uchaguzi na uteuzi wa viongozi... tukiwa tunajiandaaa na maafali ya kuwaaaga ndugu zetu wa mwaka wa tatu pamoja na certifacate na diploma ambao wapo mbioni kuondoka"..


Hao ni baadhi ya Maukhut walioudhuria katika kikao icho cha kwanza cha semester ya pili.

 

Friday, February 7, 2014

Kikao cha wanachuo wa kiislam wa Teofilo kisanji university "MSATEKU" kilichofanyika katika 
masjid JIDDHA... mahususi kwa dua ya pamoja kwa ajili ya mitihani ya mwisho wa muhula.
                             "Aliesimama ni Amiri wa mkoa wa MBEYA.. "




                                              Baadhi ya wanajumuiya waliohudhuria dua hiyo ya pamoja..
 

                         
                            Baadhi ya maukhut waliohudhuria katika dua iyo ya pamoja
                                   

Friday, December 6, 2013

ISLAM BANNED IN ANGOLA... THIS IS DONE BY THE GOVERNMENT OF ANGOLA...... On November 22, the Angolan Minister of Culture Rosa Cruz e Silva.... LAANATU LLAH ALAI said that islam is an illegal Religion..

Islam Banned in Angola

islam, banned, angola, africa, muslim
Islam Ban: Questionable Future for Mosques in Angola
While the constitution in Angola guarantees freedom of religion to all of its citizens, this right no longer seems to apply to the followers of the now banned religion of Islam. According to numerous newspapers in Angola, the African nation has banned the Islamic religion. It has become the first country in the world to take such a harsh stance against Muslims.
On November 22, the Angolan Minister of Culture Rosa Cruz e Silva said that “[t]he process of legalization of Islam has not been approved by the Ministry of Justice and Human Rights [and so] their mosques would be closed until further notice.” Why the religion needs to be legalized has not been definitively stated by Cruz e Silva.
Cruz e Silva has also said that the closing of mosques is the most recent move in Angola’s effort to but a stop to so-called illegal religious sects. Under new laws in Angola, many religious sects have suddenly become criminal.
On November 24, Angola President José Eduardo dos Santos said that the country is working toward putting an end to Islamic influence in Angola once and for all. Again, there is no word of what or who has been influenced and why it needs to stop.
The Governor of Luanda, Bento Bento, has said that “radical” Muslims are not welcome in the country and that the Angolan government will not be legalizing mosques or other places of worship for Muslims.
Islam Banned in Angola
Small African Nation of Angola
The African country of Angola’s citizens primarily practice indigenous religions. Recent surveys show that 47 percent adhere to traditional indigenous beliefs while another 38 percent of the population practice Roman Catholicism and 15 percent practice Protestantism.
The now banned religion of Islam is practiced by a very small percentage of the 18.5 million inhabitants of Angola. Only about 80,000-90,000 Angolans practice Islam. These Muslims are primary migrants from West Africa and Lebanon.
While the means of becoming a “legal religion” is Angola is not clear at this point, the government is very harshly cracking down on the illegal sects. Minister of Culture Rosa Cruz e Silva has made it known that there are nearly 200 different illegal religious sects in Angola so it is not just Islam that has been banned in Angola.
Rosa Cruz e Silva has also said that there are more than 1000 applications that have been submitted by religious groups in an effort to legalize their sects. Islamic groups have made up some percentage of these many applications but it is not clear when or if they will ever be approved. Rosa Cruz e Silva said that the legalization process of Islam has simply not been approved and, therefore, mosques must remain closed “until further notice.”
While some mosque could theoretically reopen again in the future, some are gone forever. After Angola banned Islam, one of the country’s few mosques had its minaret was taken down in October. The city of Zango had its only mosque completely destroyed after the ban as well.Those things are done under the influence from the government... "you as the muslim what do you learn from  such kind of fatigue to muslim"..

Sunday, December 1, 2013

kikao cha wanajumuiya  wa msateku kilichofanyika December mosi 2013 katika msikiti wa JIDDAH .. kama wanavyoonekana katika picha..

Baadhi ya Ma-Ukhuti walioudhuria katika kikao icho.....

        hawa ni baadhi ya viongozi walioendesha kikao... wakiwa na Amir wa JUMUIYA al-akhy Abdul.