Kikao cha wanachuo wa kiislam wa Teofilo kisanji university "MSATEKU" kilichofanyika katika
masjid JIDDHA... mahususi kwa dua ya pamoja kwa ajili ya mitihani ya mwisho wa muhula.
"Aliesimama ni Amiri wa mkoa wa MBEYA.. "
Baadhi ya wanajumuiya waliohudhuria dua hiyo ya pamoja..
Baadhi ya maukhut waliohudhuria katika dua iyo ya pamoja
Friday, February 7, 2014
Friday, December 6, 2013
ISLAM BANNED IN ANGOLA... THIS IS DONE BY THE GOVERNMENT OF ANGOLA...... On November 22, the Angolan Minister of Culture Rosa Cruz e Silva.... LAANATU LLAH ALAI said that islam is an illegal Religion..
On November 22, the Angolan Minister of Culture Rosa Cruz e Silva said that “[t]he process of legalization of Islam has not been approved by the Ministry of Justice and Human Rights [and so] their mosques would be closed until further notice.” Why the religion needs to be legalized has not been definitively stated by Cruz e Silva.
Cruz e Silva has also said that the closing of mosques is the most recent move in Angola’s effort to but a stop to so-called illegal religious sects. Under new laws in Angola, many religious sects have suddenly become criminal.
On November 24, Angola President José Eduardo dos Santos said that the country is working toward putting an end to Islamic influence in Angola once and for all. Again, there is no word of what or who has been influenced and why it needs to stop.
The Governor of Luanda, Bento Bento, has said that “radical” Muslims are not welcome in the country and that the Angolan government will not be legalizing mosques or other places of worship for Muslims.
The African country of Angola’s citizens primarily practice indigenous religions. Recent surveys show that 47 percent adhere to traditional indigenous beliefs while another 38 percent of the population practice Roman Catholicism and 15 percent practice Protestantism.
The now banned religion of Islam is practiced by a very small percentage of the 18.5 million inhabitants of Angola. Only about 80,000-90,000 Angolans practice Islam. These Muslims are primary migrants from West Africa and Lebanon.
While the means of becoming a “legal religion” is Angola is not clear at this point, the government is very harshly cracking down on the illegal sects. Minister of Culture Rosa Cruz e Silva has made it known that there are nearly 200 different illegal religious sects in Angola so it is not just Islam that has been banned in Angola.
Rosa Cruz e Silva has also said that there are more than 1000 applications that have been submitted by religious groups in an effort to legalize their sects. Islamic groups have made up some percentage of these many applications but it is not clear when or if they will ever be approved. Rosa Cruz e Silva said that the legalization process of Islam has simply not been approved and, therefore, mosques must remain closed “until further notice.”
While some mosque could theoretically reopen again in the future, some are gone forever. After Angola banned Islam, one of the country’s few mosques had its minaret was taken down in October. The city of Zango had its only mosque completely destroyed after the ban as well.Those things are done under the influence from the government... "you as the muslim what do you learn from such kind of fatigue to muslim"..
Islam Banned in Angola
While the constitution in Angola guarantees freedom of religion to all of its citizens, this right no longer seems to apply to the followers of the now banned religion of Islam. According to numerous newspapers in Angola, the African nation has banned the Islamic religion. It has become the first country in the world to take such a harsh stance against Muslims.On November 22, the Angolan Minister of Culture Rosa Cruz e Silva said that “[t]he process of legalization of Islam has not been approved by the Ministry of Justice and Human Rights [and so] their mosques would be closed until further notice.” Why the religion needs to be legalized has not been definitively stated by Cruz e Silva.
Cruz e Silva has also said that the closing of mosques is the most recent move in Angola’s effort to but a stop to so-called illegal religious sects. Under new laws in Angola, many religious sects have suddenly become criminal.
On November 24, Angola President José Eduardo dos Santos said that the country is working toward putting an end to Islamic influence in Angola once and for all. Again, there is no word of what or who has been influenced and why it needs to stop.
The Governor of Luanda, Bento Bento, has said that “radical” Muslims are not welcome in the country and that the Angolan government will not be legalizing mosques or other places of worship for Muslims.
The African country of Angola’s citizens primarily practice indigenous religions. Recent surveys show that 47 percent adhere to traditional indigenous beliefs while another 38 percent of the population practice Roman Catholicism and 15 percent practice Protestantism.
The now banned religion of Islam is practiced by a very small percentage of the 18.5 million inhabitants of Angola. Only about 80,000-90,000 Angolans practice Islam. These Muslims are primary migrants from West Africa and Lebanon.
While the means of becoming a “legal religion” is Angola is not clear at this point, the government is very harshly cracking down on the illegal sects. Minister of Culture Rosa Cruz e Silva has made it known that there are nearly 200 different illegal religious sects in Angola so it is not just Islam that has been banned in Angola.
Rosa Cruz e Silva has also said that there are more than 1000 applications that have been submitted by religious groups in an effort to legalize their sects. Islamic groups have made up some percentage of these many applications but it is not clear when or if they will ever be approved. Rosa Cruz e Silva said that the legalization process of Islam has simply not been approved and, therefore, mosques must remain closed “until further notice.”
While some mosque could theoretically reopen again in the future, some are gone forever. After Angola banned Islam, one of the country’s few mosques had its minaret was taken down in October. The city of Zango had its only mosque completely destroyed after the ban as well.Those things are done under the influence from the government... "you as the muslim what do you learn from such kind of fatigue to muslim"..
Sunday, December 1, 2013
Wednesday, October 30, 2013
kikao cha wanajumuiya wa MSATEKU kilichofanyika oktoba 27 katika msikiti wa wanajumuiya wa msateku... katika kikao icho waliudhulia baadhi ya waitimu wa 2010/13 ambao walikuwa wanajumuiya...miongoni mwao alikuwepo akhy SESEME, brother JARIBU na RIZIWANI..
baadhi ya matukio...... wakati wa kikao......
Baada ya kikao wanajumuiya walikwenda JIDDAH RESTAURANT kupata chakula cha mchana..
karibuni sana JIDDAH kunachakula kizuri na tunawapishi mahili kabisa... bila shaka ukifika JIDDAH RESTAURANT roho yako itasuuzika kwa uduma zetu...
baadhi ya matukio...... wakati wa kikao......
Baada ya kikao wanajumuiya walikwenda JIDDAH RESTAURANT kupata chakula cha mchana..
karibuni sana JIDDAH kunachakula kizuri na tunawapishi mahili kabisa... bila shaka ukifika JIDDAH RESTAURANT roho yako itasuuzika kwa uduma zetu...
Saturday, October 26, 2013
Mahafali ya TEKU 2013
Siku ya tarehe 26/10/2013.....chuo cha TEKU kiliazimisha mahafali ya Sita(6) tangu kuanzishwa kwake....baadhi ya Wanajumuiya na viongozi wa wastaafu wa Msateku walikuwa washiriki wa mahafali hiyo.....lakini cha kumshukuru ALLAH kiongozi mstaafu wa Idara ya Elimu katika MSATEKU pia alikuwa Naibu Amir wa TAMSYA Mbeya AMOUR ABDALLAH....alitunukiwa zawadi ijulikanayo kama TEKU PRIZE baada ya kufanya vizuri katika masomo kwa mwaka 2010-2013 kwa kupata matokeo ya jumla ya G.P.A ya 4.7 hakika anapaswa kupongezwa na pia Jumuiya ya MSATEKU....zifuatazo ni baadhi ya matukio hayo.
Mshindi wa zawadi ya TEKU PRIZE....Amour Abdallah....aliibuka kidedea kama mwanafunzi bora katika mwaka wa masomo 2010-2013 kwa kupata G.P.A ya 4.7......HONGERA SANA BROTHER.....!!!!
Baadhi ya viongozi wastaafu waliohitimu 2013 kutoka kulia ni Brother Jaribu,Kato Mudathiru,Hassan Mavue na Seseme Shaabani.
Hakika ni kwa kumshukuru Mungu.....BROTHER JARIBU (katibu mkuu Mstaafu wa MSATEKU) nae alikuwepo....hapo ni katika maandamano.
kabla ya mahafali kuanza......
hakika ilifana.....
zawadi zilitolewa......
Tabasamu baada ya kumaliza DEGREE ya kwanza....HONGERENI SANA.
Mshindi wa zawadi ya TEKU PRIZE....Amour Abdallah....aliibuka kidedea kama mwanafunzi bora katika mwaka wa masomo 2010-2013 kwa kupata G.P.A ya 4.7......HONGERA SANA BROTHER.....!!!!
Hakika ni kwa kumshukuru Mungu.....BROTHER JARIBU (katibu mkuu Mstaafu wa MSATEKU) nae alikuwepo....hapo ni katika maandamano.
kabla ya mahafali kuanza......
hakika ilifana.....
zawadi zilitolewa......
Tabasamu baada ya kumaliza DEGREE ya kwanza....HONGERENI SANA.
TAKBIRR......!!!!!!TAKBIRRR.........!!!!TAKBIRRR......!!!!
Assalam Alaykum.....!!!!!wanajumuiya wa MSATEKU na wale waislamu wote kwa ujumla ......hatuna budi kumshukuru ALLAH.....kwa hatua tuliyofikia hivi sasa katika maendeleo ya MRADI wetu wa Mgahawa....hakika ALLAH wa kushukuliwa katika yote mazuri tuliyoyafikia......Tayari mradi wetu wa Mgahawa umeanza kazi na mambo yanaendelea ndani ya MSATEKU.....Mgahawa unaitwa JIDDAH....na umeanza kuwa maarufu katika eneo la BLOCK T.......zifuatazo ni picha za Mgahawa huo...ndani na nje.....yapata mwezi sasa tangu kuanza rasmi.....ulianza tarehe 26 /09/ 2013.
Jiddah Restaurant.....ndio maneno yanayosemeka kwa nje ya mgahawa wetu
Ndani ya mgahawa kuna wateja na wafanyakazi wetu.....suala la usafi na muonekano nadhifu limezingatiwa.
karibu mteja...........
mambo ya asubuhi hayoo....chai ya maziwa, ya Mdarasini....,Tangawizi......pamoja na SUPU ya Ngo'mbe utapata.
Hakika kunavutia........karibuni sanaaa JIDDAH.....
Jiddah Restaurant.....ndio maneno yanayosemeka kwa nje ya mgahawa wetu
Ndani ya mgahawa kuna wateja na wafanyakazi wetu.....suala la usafi na muonekano nadhifu limezingatiwa.
karibu mteja...........
mambo ya asubuhi hayoo....chai ya maziwa, ya Mdarasini....,Tangawizi......pamoja na SUPU ya Ngo'mbe utapata.
Hakika kunavutia........karibuni sanaaa JIDDAH.....
Subscribe to:
Posts (Atom)